Biashara Za Mtandaoni zinatusaidia sana kupata vitu kwa bei rahisi sana Ila sasa Biashara hii imeingiliwa na Matapeli wengi. Sasa utamjuaje uyu ni tapeli.?
JINSI YA KUMJUA TAPELI WA MTANDAONI
1. Mabadiliko ya namba za simu za huduma kwa mteja.
Yaani kila ukiperuzi bidhaa utakuta baada ya muda...
Nilipima mwezi 1,3,6,8 nilikuwa na mchubuko pia na nilitumia izo izo dawa ARV na zilikuwa 38 mana aliyenipa alifanya kunichotea, nilikunywa kila siku saa mbili usiku zote zikaisha
Habari zenu Wanajamvi.
Wakuu naomba msaada
Mwaka 2020 Mwenyezi Mungu alinipa mtoto wangu wa tatu ambaye alikuwa anajicho moja kubwa na lingine lilikuwa la kawaida, mtoto uyu alifariki 2022 ghafla mana ilitokea kama degedege ndani ya saa mbili akawa amefariki.
Mwaka huu 2024 Mwenyezi Mungu...
Sawa nitajaribu kufuatilia hilo japo sidhani, mana mimi nina watoto ambao niliwapata kabla ya kukutana na mke wangu na pia mimba nyingi nimetungisha kwa wanawake tofauti tofauti sema walizitoa kwa sababu zao, na hata nilipokuwa na mke wangu alikaa mwezi mmoja tu akawatiyari ameshika ujauzito.
Muda mwingine huwa linanijia swala la kwenda kwa waganga wa kienyeji manaa kabla kuwa na uyu mke wangu nilikuwa na mwanamke ambaye nilimuacha kwa kuwa tulishindwana kitabia na mambo mengi, hakuwa ameridhika nadhani mpaka sasa anakinyongo na mimi .
Kati 1 hadi 6 hakuna alichokiota ndoto pekee aliota ni kwamba kwenye ndoto kama alikuwa omeondoka nyumbani wakati anarudi anamuuliza mtoto wake kindoto baba yako yupo? Ni mtoto wa miaka kama 6.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.