hellow , mimi kuna kitu kina nitatiza sana maana kila siku kuna sababu zinatoka kuhusu hawa tcu, nahitaji jua nilini wanafunzi walio apply kujiunga na chuo watapata matokeo yao maana inakera . imekuwa mda mrefu sana bila kujua ni nini kilichopo..
Hi people , nafurahi kuona vijana wanavyojituma katika kurlimishana . Mgeni humu ila naamini sitakuja boteka kulingana na mitandao minginr ya kijamii ilivyo. Much respect, peace and love
siku moja paka na mbwa walikuwa wanapiga stori. ikawa kama hivi
paka: mimi nashangaa sana , yani huyu binadamu anatudharau sana maana katika wanyama awafugao wote anawala kasoro mimi na wewe mbwa tuuu !!!
Mbwa: oya acha acha ujinga , uwe unatumia akili ukiwa unaongea maneno kama. usije...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.