Hawa TANAPA sio kosa Lao kosa la mtu wa IT inaonekana kaingia kazin na MEMO bora na inawezakana IT kukawa ma nafac za kazi hakuna ARUTI wala BARUTI wakae wajipange wasiwe wanakurupuka bora mfumo wa P.O.BOX kuliko wanajifny technology kumbe hawana lolote
Huyo mzee wetu anaona mbali kwani lile jenga kukaa pale ndio lina zalisha umeme hata lingeamia wap yote sw na huduma zitaendelea tu morogoro road ni barabara kubwa sn hata wangeweka Njian 5 kwenda 5 kurudi pia ingefaa sn mtu huwez unatoka mkoa 2 unawaza dar foleni jmn wanunga mkono hoja MAKOFI...
RIP ndg zangu tunaomba sn tupunguzeni mwendo jmn cc mziki mzito speed 100 apo ukiover take no shidaaaaaa hii jmn hata mm nilinusurika nikiwa na shemeji yenu ss nimejifunza mfn sharo yuko wap
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.