kumbe ufisadi ni sifa muhimu ndani ya CCM kupata uwaziri; alaa basi sasa mtakoma tutaitafuta sifa hiyo kwa bidii sana mpaka mtakoma mwalimu tunae PROFESSOR
Inaelekea hawa jamaa wamewafukuza wataalamu wa habari wote wakachukua akina Nape ndiyo wanaoliandikia habari. bahati mbaya waliyonayo ni kuwa gazeti lenyewe linaishia kwenye meza za mauzo. kama kuna gazeti lenye return Nyingi Tanzania ni UHURU na kama ingekuwa linatakiwa kujiendesha kibiashara...
Hivi Watanzania tumekosa muda mpaka tunajadili huu upuuzi?? HEBU NICHUE NYAV ZANGU NIKAVUE MIE, MWAMBIENI HUYO the horse ANAYEOTA AAMKE KUMEKUCHA ASIJE AKAKOJOA KITANDANI! WATU WANATAKA KUMPANDA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.