Mwanamke mwenye maambukizi ya virusi vya ukimwi,anaweza kunyonyesha maziwa yake na kuchanganya ya kopo kwa mtoto mwenye miezi2?na kama ukifanya ivyo mtoto atapata madhara gani?msaada wenu plz.
Mtu mwenye VVU ambaye tayar anatumia dozi anaweza kufanyiwa utrasound ya tumbo ama yoyote ile?maana kimtaani wanasema utrasound inapunguza siku zakuishi.
Habari zenu,
Mimi ni mfanyabiashara wa duka la nafaka na bidhaa ndogo ndogo, sasa kuna star mmoja mwanamuziki naishi nae karibu na biashara yangu, akawa anakuja kukopa everyday mpaka ikafika 80,000.
Kwa kuwa yeye ni star mimi nilimuamini kwamba atalipa sasa kazi ipo kwenye kumdai mara oooh...
Habar zenu,
Nina rafkiangu anasumbuliwa sana na tatzo lakutokwa na vipele aina ya uvimbe ukeni, juu ya mashavu ya uke.
Nitatizo ambalo linamsumbua takriban mwaka sasa kila dawa za hospital katumia sindano kachoma sana bila mafanikio.
Huo uvimbe ukiota wala hauumi ila unaiva kama jipu ukiiva...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.