Mimi niliokota mbwa wawili dume ja jike sasanaitaji niwafuge bado wadogo wana kama miez miwili nasehe kwa kuwaona jee niwapatie chakula gani waweze kukua kwa uzur na afya njema pia wawe wakali na jinsi ya kuwafunza adabu
Nimwokota hawa mbwa wawili jee niwapatie chakula gani ili wakue kwa alaka alafu nifanye nini ili wawe wakali pia waweze kuelewa nicho itaji kuwa fundisha? Nimbwa wa kibongo tuu wakawaida
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.