Yaani Lijualikalii ameona Ubaya wa Chadema kuliko wa Ccm waliyofunga kwa miezi mitano kwa kesi ya kubambikia?Hon Mbowe na Chama wakaangaika usiku na mchana kukata Rufaa hadi kutolea gerezani?
Alifikiri hizo fedha zinapatikana wapi?Au aliwalipa mawakili?
Yeye ndiye Mbunge pekee wa Cdm aliyewekwa...
Transaction ya hayo mafedha sio kama unatoa M-pesa,huenda zinajenga uwanja kule Chato,Huyo mkuu wa Takukuru akumbuke ya X CAG
Sent using Jamii Forums mobile app
Utamuduni wa Kitanzania Ni kumjadili mgonjwa wa Upinzani Bungeni?Kumzuia Mishahara yake?Kumfukuza kazi?Kumnyima matibabu?Mbochi sio jibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunatoa huduma ya kukodisha magari(Private)
Aina ya kazi:
1.Tours
2.Harusi
3.Sendoff
4.Kusafirisha Misiba
5.Picnic N.K
Location.Ubungo external
Call us 0784/0753/0715/0622 955 900
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.