Hii imekaa vizuri. Hili watanzania waache kukimbilia siasa wabunge walipwe mishahara Kwa vigezo vya usomi wao. Kama ni darasa la Saba,apewe mshahara wa cheti cha darasa la Saba possibly Kima Cha chini.Utaratibu huu ulitumika huko Ribya enzi za Gadafi.Wasomi wengi walikuwa hawakimbiii siasa
Kama Paschal angekuwa chaguo la CCM ajue angesaidiwa kuiba kura ili awe mbunge lakini kula za maoni hazikutosha akapata kura moja.Sijui kwanini anaendelea kutoa povu Kwa wezi wa kula Wala wenyewe hawana habari naye.Zimepita teuzi nyingi lakini si GPM au Chifu agaya amemkumbuka. Andika makala ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.