AI haichukui kazi ya mtu bali inarahisisha kazi. Hivi mtu hajui mambo ya web design anawezaje kui command AI imtengenezee website?Atakuwa ana bahatisha tu na hatopata kitu kizuri ndani ya muda mfupi kama ambavyo mtu anaye fahamu web design principle atatumia muda huo kupata kazi nzuri
Huduma bado zinaendelea. Ahsanteni sana wateja wangu kutoja jamiiforums mlioniamini na kunikabidhi kazi
www.gpstanzania.co.tz
www.restoreherdream.co.tz
www.marafikilogistics.com
kuna mtu ana miliki kampuni na anabiashara kubwa tu ukimwambia kuhusu ai anakuuliza ndio nini hicho..sasa tena unataka huyu mtu atengeneze website, asajili domain, afanye hosting, website ikileta shida aiulize ai wakati Website Tanzania yupo kwa ajili ya msaada huo..
sio kila mtu ana muda wa kutumia ai kutengeneza website watu wanataka kufocus kwenye productivity na sio kudeal na mambo ambayo unaweza mpatia mtu mwenye uzoefu akutengenezee.
Habari wanajukwaa,
Leo nataka kuzungumzia jambo ambalo wafanyabiashara wengi bado wanalipuuzia lakini lina athari kubwa sana katika ukuaji wa biashara zao – kuwa na website ya biashara.
Watu wengi wanaamini kuwa Facebook, Instagram au WhatsApp zinatosha. Ukweli ni kwamba mitandao ya kijamii ni...
OFFA YA LEO TU
Unapata website ya kisasa
unapaa emails rasmi za kampuni yako.
Tunakusajilia jina la website yako
yote hayo kwa gharama ya Tsh.200,000 tu.
kazi yako itakuwa imekamilika ndani ya siku 3 tu.
call/sm/whastapp 0797870940
OFFA YA LEO TU
Unapata website ya kisasa
unapaa emails rasmi za kampuni yako.
Tunakusajilia jina la website yako
yote hayo kwa gharama ya Tsh.200,000 tu.
kazi yako itakuwa imekamilika ndani ya siku 3 tu.
call/sm/whastapp 0797870940
OFFA YA LEO TU
Unapata website ya kisasa
unapaa emails rasmi za kampuni yako.
Tunakusajilia jina la website yako
yote hayo kwa gharama ya Tsh.200,000 tu.
kazi yako itakuwa imekamilika ndani ya siku 3 tu.
call/sm/whastapp 0797870940
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.