Recent content by We Know Next

  1. W

    JamiiForums Tanzania Nataka kujilipua na Volvo XC 90. Ushauri wenu wadau

    Bro naomba leads ya hao Mafundi nawahitaji tafadhari. l
  2. W

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Nchemba-Out of touch. Anasema hakuna wizi serikalini, Rais ampa mfano wa mtandao wa wizi Mbeya

    Ningekuwa Mimi..ningejiuzulu....haiwezekani Mkuu wako anapinga nawe hadharani na bado upo..kwa kusema Uongo hadharani...
  3. W

    JamiiForums Tanzania Kwa kauli ya Rais Samia kwa Hussein Mwinyi, Je kuna fukuto ktk Familia ya Hayati Mzee Mwinyi?

    Mimi Binafsi nadhani, halituhusu kabisa. Sisi tumetoa heshima za Mwisho kwa Mzee aliyetuongoza kwa mazuri na pia kuna mapungufu yake, Suala la familia yake ni mambo Binafsi, kama zilivyo familia nyingi tu zenye matatizo yao ya kifamilia, lakini hatuzisikii sababu hawana coverage ya vyombo vya...
  4. W

    JamiiForums Tanzania Waliosambaza taarifa potofu dhidi ya Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango kukiona cha mtema kuni. Waziri Nape atoa maelekezo

    Kwani Pena ni nani kwenye hili wakati Muathirika mwenyewe yeye hana shida na wala hajalalamika, ila amepewa ujumbe tu kuwa kwa vile yeye ni Public Figure, Kusemwasemwa ni lazima... Huyu Pane anawashwa nanini na aache kimbelembele...
  5. W

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Serikali haina pesa. Hali ni mbaya ya kusua sua baadhi ya Donors waanza kulalamika

    Mimi nawashangaa hao DOnors, kama wameona pesa zao zatumika ndiyo sivyo siwaache kutoa hizo pesa? Kwani watalazimishwa?
  6. W

    JamiiForums Tanzania Hakuna sababu ya kuomba michango ya mafuriko ya Hanang, Serikali isaidie wananchi kwa pesa zake

    Nchi Yetu tupo katika usingizi mzito wa PONO. Tumelalaaaaaaaaaaa na sijui lini tutaamka. Tubali bila kukwepesha macho na kunyoosha maneno..Tuna "OMBWE la UONGOZI" Bila kuwa na makusudi ya dhati kama Taifa, kutoka hapo, basi tuendelee Kulala Usingizi wetu wa PONO.
  7. W

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Matsahi amtaka Spika Tulia kukaa karibu zaidi na Mungu wakati huu na asiruhusu marafiki wasioeleweka kumkaribia!

    Dah Ndugu....ahsante sana....umegonga penyewe. Kwa Viongozi wa Dini na Serilikali ambao ni wanafiki.
  8. W

    JamiiForums Tanzania Bila kufanya haya, tusahau suala la kuondokana na Mgao wa Umeme

    Nungana na wewe Kabisa. Nadhani kwa mtu mmojammoja ili uishi maisha ya kutosumbuka na Umeme na Maji tafadhari anza kupanga sasa kuwa na Independent power generations, (Solar na Generator for Electricity) and Kisima cha kuchimba kwa ajili ya Maji (Dawasa). Hii kwa wakazi wa Dar es Salaam.
  9. W

    JamiiForums Tanzania Mbona Waziri Dorothy Gwajima yupo kimya sakata la Pauline Gekul?

    Nadhani yuko kimya sababu suala lipo ktk mikono ya Police, asije akaharibu upelelezi.
  10. W

    JamiiForums Tanzania Mwalimu Japhet Maganga wa CWT hafukuziki? Jibu hili hapa

    Mtaje tu huyo Mkubwa fulani..
  11. W

    JamiiForums Tanzania Maharage Chande aondolewa TANESCO, apelekwa TTCL. Gerson Msigwa awa Katibu Mkuu Wizara ya Michezo

    Mhh wahenga walisema mtu mzima ukifumaniwa chutama..... Huu
  12. W

    JamiiForums Tanzania Kuelekea siku 30 za kuishinikiza Serikali kuachana na mkataba wa DPW na kudai katiba Mpya, tunaomba assurance kutoka kwa mawakili

    At least umeonyesha kuwa hata wenzetu mlioko ktk vyombo vya usalama mnakerwa na mpo pamoja na ndiu zenu wananchi kupinga huu unyonjaji na ukandamizaji wa haki za raia, ikiwa kama hili andiko ni l kweli. Lakini, hamuihitaji Mawakili, fanyeni kama walivyofanya wanajeshi na mapolisi wa Mistri...
  13. W

    JamiiForums Tanzania Waziri Mchengerwa wa Tamisemi "Maafisa Utumishi Miungu Watu Wasiosikiliza Watumishi Wenzao Hawanifai, Hawatafanya kazi na Mimi"

    Hakuna kitu hapo....mambo yanayozidi kujitokeza kila siku yafanyikayo nyuma ya pazia...ni anguko la utawala...ni suala la muda tu..... Trust imepotea na inazidi kupotea kwa kasi kubwa....
  14. W

    JamiiForums Tanzania Kama sio Maaskofu wa Kanisa Katoliki, Watanzania tulikuwa tunapigwa na kitu kizito sana na DP World

    Ikiwa itatokea kama mnenaji alivyo malizia, basi Spika na Bunge lake wamepoteza hadhi ya kuwa mjengoni, na kwa hiari yao waondoke, na pili Mahakama Kuu nayo ijitahmini na watupe mrejesho Kama wanaona ni haki nao kuendelea kukaa na kutafsiri Sheria. Kama hayo yote yakifungiwa macho, basi...
Back
Top Bottom