Bwana Sanctus Mtsimbe,
Nakupongeza sana kwa mawazo mazuri. Napenda kuongeza au kutahadharisha yafuatayo:
1. Kabla ya mawazo haya hayajawa implemented, lazima kuundwe THINK TANK la wataalam wa sekta zote (kilimo, ufugaji, uchumi, siasa, madini na gesi, intelijensia ya kimataifa na kitaifa...