yeye kilaza halafu kagonga wewe ??
ina maana wewe ni kilaza zaidi.
halafu kama sio ---- mbona umeingia kichwa kichwa kununua hicho ukiitacho kopo?
mafala ndio wananunua makopo kama ulivyofanya wewe
heshima kitu cha bure wee mbaguzi wa kabila
wewe ndio huna upeo.
tena umejaa wivu.
hoja zako na mashambulizi yako dhidi ya munji yapo kama wale wa buguruni na uwanja wa fisi, waliofanyishwa kazi kisha wasilipwe chao.
unalalamika kwa kununua dongle?? shame on you
babu keep it up njunwa wamavoko kuwapa elimu. achana na hao wasioelewa tech. wanofunga ki dongle pekee bila ya fta. kikigoma wanalalama kama wari waliovunjwa bikira
mia mia mwanangu njunwa wamavoko . wewe munji na paje ni moto wa kuotea mbali. mijitu haina uwezo wa kufikiri, hawapo creative , halafu wanataka kutegemea dongle pekee. wachovuuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.