Ndio nimesoma sijaona mahali watu walipo ambiwa wasivae barakoa wasi observe social distance
Kama bado mnabisha this is not worth kubishana
Hope somo mtakuwa mmepata kutokuongea ovyo kabla hamjawa na data zakutosha hiyo ni goverment documents kabisa ambayo ukisikiliza vyombo vya habari vya...
Hatufuati kivipi? Unataka police wapite waanze kupiga watu? Usiamini kila kitu tafuta undani wake kwanza, haya hizo hapo instruction kutoka wizara ya afya
Wew unataka data za nini? Yani tell me the importance yakusema leo watu 1000 wamekufa na corrona au wanacorrona. Kutangaza kwa wananchi. Data acha zitumike na wizara ya afya na serikali juu ya kuongeza jitihada but data zisitumike kama mashindano na kujengea hofu jamii, ugonjwa upo njia za...
Unafikiri Tz kungekuwa na vifo 1000 tuu kwa siku kwa corona kungekuwa na kuficha? Vifo/kifo hakifichiki mahospitalin tunakuona mtaani tunakuona yes kwa confidence naweza sema Tz sio kama SA na wala sio kama USA.
Bro kuna mtu hajui ni nchi zipi zimekuwa affect sana na Covid? Well nchi karibu zote za ulaya na USA kwa hapa kwetu tusiisahau KENYA na SA zimeonyesha kushambuliwa sana
One thing mnatakiwa kujua mficha maradhi kifo humuumbua Tz corrona ipo ndo maana watu wamekufa kama nchi nyingine ingawa...
Nafikiri inahitaji mwelewa kunielewa, kuvaa barakoa nikitu kingine na virus mutation nikitu kingine as long as virus tayari alishatokea na yupo nafikiri sasa hakuna nchi ambayo hakuna corrona swala la kuwa 10 times mutated lilikuwa niswala la muda tuu.
Hata hizo instructions za WHO ukizifuata...
So no one dare to answer this scientifically. Swali langu la msingi lilikuwa hili Je tungefuata WHO instruction kusingetokea virus mutation? Jibu ni noo
Virus mutation ni changing of virus (DNA or RNA) structure.
Stucture ya DNA or RNA. Inavyobadilika ina weza kutupa impact positively kwetu...
Think hapa alikuwa anaongelea ile first wave ya corona yule virus from wahun its true that version yavirus kwetu sis haikuwa threat kubwa wote tunakumbuka mwakajana mwezi 6 cases zakorona zilipungua kabisa. Nilikuwa nakaa karibu na makaburi flan watu walikuwa wanazikwa usiku vifo vilikuwa vingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.