Uunajua moja ya majukumu ya polisi nikuangalia usalama wa nchi sasa wakitekeleza majukumu yao nyinyi mnachukia tena acheni siasa kwenye suala la usalama wa nchi yetu
Jumanne ya tarehe 15 tunamshukuru mungu kwa wale tulio wazima WA afya na wale wenye shida mbalimbali tunamuomba mungu awaponye ili waweze kurudi Katika majukumu yao ya kila siku. Kumekucha twendeni tukapambane kutafuta maisha na kujenga taifa letu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.