Wana jf nataka kununua gari mnadani natumia kampuni ya real Motors sasa weniambia nifanye bid halafu nitoe advance ya dollar 1500 ambayo itakuwa included kwenye manunuzi kama nikipata gari ninayohitaji sasa ninachouliza kuna mtu yoyote alishafanya manunuzi kwa njia hiyo na usalama ya pesa vp
Wanajf habarini mbona kimya jamani michango imeisha nashindwa kuingia humu mda wote sababu mpaka nipate access ya Wi-Fi nimezunguka zunguka nimebahatisha moja mbagathi road ila si karibu na hospital kwahiyo bado michango yenu inahitajika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.