Recent content by watown

  1. W

    JamiiForums Tanzania Kununua spare parts kutoka Japan

    Yako ni kama hiyo nyeusi yangu ni hiyo ya blue
  2. W

    JamiiForums Tanzania Kununua spare parts kutoka Japan

    Yako ni kama hiyo nyeusi umeona tofauti?
  3. W

    JamiiForums Tanzania Kununua spare parts kutoka Japan

    Asante lakini sio hiyo,Ile haina hilo tundu la pembeni,ngoja ni upload picha
  4. W

    JamiiForums Tanzania Kununua spare parts kutoka Japan

    Nahitaji mpya kabisa na sio used mkuu
  5. W

    JamiiForums Tanzania Kununua spare parts kutoka Japan

    Honda RE boss
  6. W

    JamiiForums Tanzania Kununua spare parts kutoka Japan

    Oil pressure sensor part number ni HP930
  7. W

    JamiiForums Tanzania Kununua spare parts kutoka Japan

    Boss ni ya Honda CR-V samahani nimechelewa kuona massage yako niko shamba network shida kidogo
  8. W

    JamiiForums Tanzania Kununua spare parts kutoka Japan

    Kupitia website gani boss?
  9. W

    JamiiForums Tanzania Kununua spare parts kutoka Japan

    Ndo kitu nachokitaka kipate reliable source ya kuagiza haya mambo ya used sitaki tena
  10. W

    JamiiForums Tanzania Kununua spare parts kutoka Japan

    Yeah mambo ya readings za sensor tayari,na kuhusu Kenya Kuna kitu umeniongezea ambacho nilikuwa sifahamu gari ni Honda hivyo tulishawishika kuagiza Kenya maana kule ziko nyingi mno
  11. W

    JamiiForums Tanzania Kununua spare parts kutoka Japan

    Wale wanauza used halafu pale gharama za parcels kwa beforward ni kubwa
  12. W

    JamiiForums Tanzania Kununua spare parts kutoka Japan

    Wadau wa JF yoyote mwenye ufahamu kuhusu website nzuri kutoka Japan nayoweza kununua spare parts (pressure sensor) kutoka Japan. Maana nimeishanunua used mara mbili kutoka Kenya zinafeli nataka nijaribu Sasa kununua mpya kutoka Japan mdau anejua njia nzuri zaidi ya kupata hako ka sensor from...
  13. W

    JamiiForums Tanzania Kununua gari japani mnadani

    Ndugu usawa huu umakini unahitajika sana pesa zenyewe za kulenga kwa manati
  14. W

    JamiiForums Tanzania Kununua gari japani mnadani

    Labda kuna ambao unawafahamu wana bei nzuri mkuu
Back
Top Bottom