Recent content by wasamile

  1. W

    Gwajima Kitanzini, Viongozi wa dini wamshukia kama mwewe

    Hawa ni watu makini hawalopoki kama Gwajima
  2. W

    Natoa rai tuacheni kumjadili Dr Slaa tumwache Mungu ashughulike naye

    Mungu hawezi mwadhibu mkweli hata siku moja
  3. W

    Hansard za Bunge: CHADEMA ilipinga kuanzishwa bodi ya mikopo

    Mbona Richmond huitaji au haikutuingiza hasara? Je na vyuo binafsi Itakuaje?
  4. W

    Kubenea kumvaa Dr. Slaa

    Kubenea tunaomba usitukane Bali mjibu kwa hoja. Pia usizungumzie mambo yake binafsi. Tunaomba ujibu tuhuma alizotoa slaa.
  5. W

    Willibrod Slaa amkacha Tido Mhando

    Hawa wanasiasa wanatufichaga mengi sana. Wakisalitiana ndo wanaanza kulipuana. Ok Sie watazamaji tu ngoja tuendelee kuwackiliza tu.
  6. W

    Willibrod Slaa amkacha Tido Mhando

    Mwaka huu tutackia mengi sana tena sana
  7. W

    Neema: Waiter wa Serena Hotel apewe support na UKAWA, kasaidia sana. Yuko wapi?

    Hizo n propaganda ukweli umewauma wengi.
  8. W

    Kingwendu ndio chaguo la Kisarawe

    Daaaaah kwa kweli Tanzania tumekosa viongozi hadi akina kingwenduuuuu
  9. W

    Neema: Waiter wa Serena Hotel apewe support na UKAWA, kasaidia sana. Yuko wapi?

    Hizi audio huaga cziamini sana naye ajtokeze mbele ya vyombo vya habari aseme hayo
  10. W

    GE2015 Dr. John Pombe Magufuli anafaa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania

    Haezi kuufuta coz huo ujumbe hauna shda yoyote . Labda waufute huo uliouweka wewe mana unaonekana unachochea vurugu
Back
Top Bottom