Recent content by wasakatonge forever

  1. wasakatonge forever

    JamiiForums Tanzania Mashindano ya African Football League (AFL) hatihati kutokuwepo msimu huu

    Inasemekana ivo ila taarifa rasmi ya wenye mashindno yao bado haijatoka
  2. wasakatonge forever

    JamiiForums Tanzania Mashindano ya African Football League (AFL) hatihati kutokuwepo msimu huu

    Kama mnayakumbuka yale mashindano ya AFL ,yaliofanyika msimu uliopita apa na yalizinduliwa hapa hapa Tanzania kwa mechi kati ya Simba sc dhidi ya Al ahly sc na mchezo kutamatika kwa sare ya goli 2 kwa 2 .Na bingwa wa mashindano hayo hadi mwisho walikua ni Mamelodi Sundows ya Afrika kusini. Sasa...
  3. wasakatonge forever

    JamiiForums Tanzania Usajili wa Clotus Chama kwa yanga hadi sasa hauna tija yoyote

    Yan saiv kilichobaki hpo n mabo kuanza kuvuja t nje
  4. wasakatonge forever

    JamiiForums Tanzania Usajili wa Clotus Chama kwa yanga hadi sasa hauna tija yoyote

    At least baleke , ila chama mhh mhh hmna kbisa , wamemchukua umri wa mpira ushafika jioooon
  5. wasakatonge forever

    JamiiForums Tanzania Usajili wa Clotus Chama kwa yanga hadi sasa hauna tija yoyote

    That's true
  6. wasakatonge forever

    JamiiForums Tanzania Usajili wa Clotus Chama kwa yanga hadi sasa hauna tija yoyote

    Kama umekua ukifatilia mechi za yanga sc msimu huu wa mashindano , nadhan utakua umeona kiwango cha mchezaji Clotus Chama . Kwangu mimi naona hadi sasa Chama hana mchango mkubwa kwenye pitch , maana kwa nilivoona kwenye mechi ambazo amecheza inaonekana energy yake ishashuka kabisa, ila kwa...
  7. wasakatonge forever

    JamiiForums Tanzania Kwa timu hizi , droo ya makundi CAFCL msimu huu hapatoshi.

    Yan n htr mnoo , kama kund ambalo litakua na hao MC Alger mhhh cpat picha kbisaaa
  8. wasakatonge forever

    JamiiForums Tanzania Kwa timu hizi , droo ya makundi CAFCL msimu huu hapatoshi.

    Huyo MC Alger co poa kbisa
  9. wasakatonge forever

    JamiiForums Tanzania Kwa timu hizi , droo ya makundi CAFCL msimu huu hapatoshi.

    Habar za uzima wana JF Tarehe 7/10/ 2024 mwaka huu katika mji wa CAIRO ambapo ndipo yalipo makao makuu ya CAF tunatarajia kushuhudia droo ya kupangwa kwa makundi ya mashindano ya cafcl & cafcc kwa msimu huu. Kwa upande wa cafcl kutakua na pot's 4 , :- pot 1 ;-Al ahly{Egypt}...
  10. wasakatonge forever

    JamiiForums Tanzania Kwa anayefahamu chuo cha afya bukumbi

    Habarn wan JF ; kma kun mtu ashawahi kupita chuo cha afya bukumbi , eb anielezee kdogo kpoje & huduma zake zkoje
  11. wasakatonge forever

    JamiiForums Tanzania Kwa anayefahamu chuo cha afya bukumbi

    Habarn wan JF ; kma kun mtu ashawahi kupita chuo cha afya bukumbi , eb anielezee kdogo kpoje & huduma zake zkoje
  12. wasakatonge forever

    JamiiForums Tanzania Msaada kwa anayefaham technical colleges za serikali & kozi zake kulingana na huo ufaulu

    Samahan mkuu hicho cha DIT unaweza kunielekeza kuapply
  13. wasakatonge forever

    JamiiForums Tanzania Msaada kwa anayefaham technical colleges za serikali & kozi zake kulingana na huo ufaulu

    Iv kwenye biomedical eng kuna fursa za kutosha / ndo kama clinical medicine?
  14. wasakatonge forever

    JamiiForums Tanzania Azam Tv wazindua chaneli mpya Azam Sports 4HD, watarusha La liga pamoja na Serie A

    Local channel zinaonyesha all time
Back
Top Bottom