Nassari: Usalama wangu uko shakani
Siku tatu baada ya Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari (Chadema), kuibua tuhuma nzito dhidi ya viongozi wa serikali waliowashawishi madiwani wa chama hicho kujizulu na kuhamia CCM, mbunge huyo amesema maisha yake kwa sasa yako shakani.
“Usalama wangu...
Siku, dakika za mwisho kabla ya Ben Saanane kutoweka
Siku chache kabla ya kupotea katika mazingira yasiyoelezeka, kada wa Chadema, Ben Saanane alifanya mambo mengi kama mawasiliano yake binafsi na pia ya chama chake.
Hata hivyo, kati ya mawasiliano hakuna kilichosaidia kung’amua ni katika...
Familia ya Lissu yafanya kikao na Bunge
Wakati Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu akiendelea namatibabu katika Hospitali ya Nairobi, familia yake imefanya kikao cha siri na uongozi ya Bunge kujadili matibabu ya mbunge huyo.
Kikao hicho kimefanyika leo Jumatatu jijini Dar es Salaam na...
VIDEO-Lema adai Takukuru waanza kuwachunguza madiwani Arusha
Kuangalia Full Video Ingia Kwenye App ya Chadema News au bonyeza link chini kui download au click Chadema News – Програми Android у Google Play
Joshua Nassari (Arumeru Mashariki), Godbless Lema ( Arusha Mjini) na Mchungaji Peter...
Lema kuanika ushahidi wa madiwani waliojiuzulu
Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema amesema kesho Jumapili ataweka hadharani ushahidi wa tuhuma walizonazo kuhusu madiwani wa chama hicho waliojiuzulu wakisema ni kutokana na kuunga mkono utendaji wa Rais John Magufuli.
Lema na mbunge...
Polisi yazuia mikutano ya Lema
Arusha. Polisi Wilaya ya Arusha imepiga marufuku mikutano ya hadhara ya Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema kwa maelezo kuwa kutakuwa na ujio wa viongozi wa kitaifa jijini hapa.
Pia, kuzuiwa mikutano ya mbunge huyo wa Chadema kunahusishwa na tukio la kuungua...
Serikali haijui Ben Saanane kama amekufa au yuko hai
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba amesema Serikali haijui kama Ben Saanane alikufa au yuko hai, lakini Jeshi la Polisi linaendelea kumtafuta ili kujua kilichotokea.
Saanane ambaye ni Mkuu wa Idara ya Sera na Utafiti wa...
Waishangaa Serikali kujitokeza matibabu ya Lissu wakati huu
Kauli ya Serikali kwamba iko tayari kugharimia matibabu ya Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu popote pale, imeibua mjadala mzito huku baadhi ya wasomi wakidai ni ya kujikosha baada ya kushindwa kuwajibika tangu kiongozi...
Lema, Msigwa waliamsha Nairobi
Wabunge wawili wa Chadema wametumia mahojiano nje ya nchi kuzungumzia matatizo ya Tanzania wakisema hayawezi kumalizwa na mtu mmoja bali kwa mifumo imara ya mihimili ya Mahakama, Bunge na Serikali.
Wakizungumza katika mahojiano na Kituo cha Televisheni cha KTN...
NYUMBA YA ZITO ILIYOPO KIGOMA YAUNGUA MOTO
Nyumba ya Mbunge Kigoma Mjini Zitto Kabwe aliyoijenga wakati akigombea ubunge kwa mara ya kwanza iliyopo Kibingo, Kata ya Mwandiga mjini Kigoma imeungua moto jioni hii.
Nyumba hiyo iko kiwanja kimoja na nyumba yake ya sasa imeteketea yote na chanzo...
UPDATES NA YANAYO ENDELEA KUHUSU AFYA TUNDU TUNDU LISU
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema kuwa hivi sasa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu anaweza kuongea na kula kidogo.
Akizungumza na waandishi leo Alhamisi jijini Nairobi, Mbowe amesema taarifa za kwamba Lissu amepata...
KAULI YA MH TUNDU LISU AKIMUAMBIA MBOWE BAADA KUZINDUKA;
**MWENYEKITI I SURVIVED TO TELL THE TALE**
PLEASE KEEP UP THE FIGHT *****
Ni maneno machache aliyosema Tundu Lissu Baada ya kufumbua kinywa**
Nimaneno machache sana alio zungumza mh.lisub lakini yamebeba ujumbe mzito mimi na amini...
BREAKING NEWS -DEREVA WAB TUNDU KUHITAJIKA KITUON POLIS WAMUITA KWA MAHOJIANO
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto amemtaka dereva wa Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema)Tundu Lissu, ajitokeze ili aweze kutoa maelezo yake kuhusiana na tukio la kupigwa risasi bosi wake.
Kamanda...
RAIS KENYATTA AMEAGIZA HOSPITALI ALIKOLAZWA TUNDU LISSU KUONGEZEWA ULINZI..!
Rais Uhuru Kenyatta Ameliagiza Jeshi La Polisi Kuongeza Ulinzi Katika Hospitali Ya Agha Khan Nairobi Alipolazwa Tundu Lissu.
Hii ni kwa ajili ya kuchukua tahadhari ya usalama ili wale waovu kama watajaribu kumfuatilia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.