Recent content by WaryobaItang'are

  1. W

    Mwanamke kudaia arudishe pesa

    Binti kilaza tu huyo, yaani ni chui ndani ya gamba kondoo. Jamaa achukuwe tu vyake, kwani hata wazazi na jamaa wa binti ni vilaza, kwanini wamefumbia macho issue hio wakati walishatambulishwa?
  2. W

    Karibuni - Application HESLB (Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu)

    Asante sana kwa taarifa nzuri kama hiyo. Kwangu ni kama tayari milango ya neema imefunguliwa. Thanks so much.
Back
Top Bottom