naomba tuwekane sawa ju ya hili.bei ya king'amuzi cha azam tv sio elfu 30 na kwa mwezi sio buku 2.muda ukifika mtajua na mtaelewa wadau.sio mdanganyane tu.
jamani eleweni kuwa uzinduzi bado haujafanyika bado.na kama hamjui bei ya king'amuzi mnyamaze.mi nipo azam tv head office na nafaham bei ya king'amuzi vizuri tu na malipo kwa mwezi sio buku 2 jamani.embu subirini vitoke alafu ndio muongee.customer service agent wa azam tv.
jamani bei ya king'amuzi cha azam haiko ivyo jamani wala malipo kwa mwez si shiling buku 2.muda ukifika kila kitu kitahulikana.customer care agent wa azam yv
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.