I say mbona huelewi. Nimesema Petro aliuwawa mwaka 67 AD na Catholic limeanzishwa 312 na Constantine, Vatican imejengwa, kipindi cha Martin Luther probably miaka ya 1500. Sasa huo mwili wa Petro waliupata wapi. Hata hapo bado huelewi. Nimesema elimu tu kawaida inahitajika. Petro Alikuwepo karne...
Jiongeze, petro alisulubiwa na warumi miguu juu kichwa chini AD 67 na mfalme Nero. Kipindi hicho hakuna Vatican, wala Catholic Church. Catholic limeanza 312 AD na hiyo Vatican ni ya majuzi tu ujenzi wake kipindi cha Padre tarzel. Kama huna shule achana na history
Da petro alikufa AD 67 na Ukatoliki ulianzishwa 312 AD, akafu unasema kazikwa Vatican. Jamani acheni kutuabisha.
Vatican ni kanisa la majuzi tu hapa alafu unatuaminisha Mambo ya kina petro ya zamani Sana. Jamani someni hata shule tu ya kawaida itakuongezea maarifa
Watu wengi wamejidanganya Sana eti Marekani anaiba mafuta Uarabuni bila kujua Marekani ni kinara wa Uzalishaji wa crude oil duniani
USA anazalisha pipa million 21 kwa siku na kumuacha Saudi Arabia, Russia kwa mbali Sana.
Bado USA ni kinara kwenye Uzalishaji wa gesi duniani.
Ukijumlisha na...
Muda si mrefu Uchumi wa USA unafika 30 trillion USD.
Uchumi wa USA ni mkubwa Sana. Ni rahisi kuitawala dunia kwa huo uchumi
Mchina ana safari ndefu Sana.
Ana watu 1.4 billion na uchumi bado ni 18 trillion.
Usihangaike kuomba, kuombewa, mafuta ya upako, maji ya upako.
Kanuni ya kupata muujiza kwa Mungu ni kuacha uovu. Kama bado unafanya uovu usitegemee muujiza kutoka kwa Mungu
Maandiko yanasema akusamehe maovu yako yote, akuponya magonjwa yako yote. ( zaburi 103:3)
Mahubiri ya yesu Kristo wakati...
Hili ni taifa teule la Mungu. Pamoja na Kuzingirwa na maadui pande zote yaani Hezbollah, Houth, Hamas, Iran, Russia na silaha kutoka kila upande wa dunia, bado Israel imeibuka kidedea.
Ushindi huu Sisi wengine mapema tuliona. Tulionya pia kwamba hawa maadui watapigwa. Kweli dunia imeshuhudia...
Ujasiri na Uhodari wa Benjamin Netanyahu kwenye ulimwengu wa kivita ni copy and paste ya King David.
Mfalme David alikuwa hodari na jasiri Sana linapokuwa suala LA Vita. Utawala wa mfalme David ulijaa vita miaka 40.
Na ni nadra Sana David alipigwa.
Kutokana ni hilo kwenye bendera ya Israel...
Matamshi ya kutaka kuliaangamiza taifa la Israel hayakuanza Leo. Viongozi wengi Wamefanya hivyo tangu zamani.
Baadhi ya hao viongozi ni
1) Pharaoh
2) Haman
3) Nebuchadnezzar
4) Belshazzar
5) Sennacherib
6) Saddam Hussein
7) Ahmadenajad
8) Raisi
9) Adolf Hitler
10) Iddi Amin
Pamoja na hayo...
Hii ni elimu ya juu Sana. Kama uelewa wako ni mdogo, utabaki kupolomosha matusi.
Taifa LA Israel limejengwa juu ya watoto 12 wa Yakobo.
Miongoni mwa wale watoto, alikuwepo mtoto kwa jina la YUDAH.
Kutokana na huyo mtoto, Yesu alizaliwa kwenye huo ukoo. (Ndiyo maana anaitwa Simba wa Yudah)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.