Recent content by Wansambuki

  1. W

    Covid 19 sio janga kubwa la mwisho, tujiandae na janga kubwa lingine - Bill Gates

    Sielewi kwa nini ustuke. Haya ni mambo ya kitaaluma, inabidi kujiandaa. Taabu ni pale serikali nzima inapokataa sayansi na kuamini mara nyungu, mara kikombe cha babu! Ni kweli tusipochukua hatua, na kama hatukuputika kwa janga hili, linakofuata taabu itakuwa pale pale! Tuamke, tuchukue...
  2. W

    Hivi kuna ushahidi kuwa HPV vaccine zinaleta ugumba sterility Tanzania?

    Bwana retired, jibu ni hakuna. Kwa kuwa unaweza kuandika mtandaoni, nina uhakika unaweza kutafuta jibu hili katika google. Na kwa nyongeza, vifo vinavtotokana na kansa kwa wanawake kansa inayochukua namba moja ni kansa ya shingi ya kizazi. Ni ugonjwa mbaya, unagundulika ukiwa umechelewa na vifo...
  3. W

    Tundu Lissu bado unayo nafasi ya kurekebisha hotuba yako! Usiongelee Macro issues kupita kiasi!

    Mambo mazuri kuyaaongezea. Pia akiongezea na Kwa kweli mamnbo mazuri hayo. Pia akitia msisitizo namna atakavyokuza uchumi( economic growth), hasa kama fedha yetu na mikopo itaelekezwa katika maswala yatakayokuza uchumi, kama: 1) Human capital development: elimu yenye mitaala ya kuwapa vijana...
  4. W

    Prof. Kabudi: Rais amenituma kuwashukuru Watanzania kwa maombi, asema ameuona mkono wa Bwana

    Hatuna dawa iliyothibitishwa kutibu. Na hatuna scientific evidence zinazoonyesha kuwa hatua ni sahihi. Kisiasa na ki -mataga unawezajisemea chochote , lakini mwenye macho haambiwi tazama!
  5. W

    Prof. Kabudi: Rais amenituma kuwashukuru Watanzania kwa maombi, asema ameuona mkono wa Bwana

    Taabu ni kuwa katika nchi hii sasa tunachanganya sayansi na siasa. Kama unaelewa sayansi ya magonjwa haya huwezi kulinganisha nchi za ulaya na chi za Africa. Tunatofautiana sana katika mambo yanayopelekea maambukizi, hivyo hatuwezi kujigamba kuwa hatua tulizochukua ndio zimepunguza maambukizi...
  6. W

    Ripoti ya Uchunguzi wa Maabara: Mashine moja ilikuwa na hitilafu. Upimaji wa COVID19 umehamishiwa katika Maabara mpya iliyopo Mabibo

    Buildings, machines, multitudes of people singing praises are all good; but the critical issue is showing people that our interventions are working. We need evidence of results, not ngojera. This we have seen, now folks: deliver results! That is the role of government to its people.
  7. W

    Tumsadie Lijualikali na wengine kuzijua Katiba za Vyama vya Siasa

    Asante sana. Msaidie huyo jamaa. Habari ya kuchsngia aliijua kabla ya kujiunga!
Back
Top Bottom