Mkoani Arusha tangu tarehe 8-10/5/2024 kulikuwa na clinic ya kusikiliza kero na malalamiko ya wananchi, clinic ikiendeshwa na Mkuu wa mkoa wa Arusha kupitia watalaam mbalimbali kutoka ofisi yake, TLS, Ardhi n.k.
Clinic hiyo Kwa ujumla imezaa matunda Kwa wananchi wengi waliojitokeza na imeonesha...
Lete mifano halisi ya ADC wa nchi nyingine waliowahi kucheka Hadi kusababisha madhara Kwa rais.
Espionage duniani imebadikika ila sisi tuko na Ile ya kipindi Cha ujima
Sent from my Infinix X6819 using JamiiForums mobile app
Sioni kama ni vyema CCM kuendelea kutumia nguvu nyingi kujitamba na kujigamba majukwaani kwani Hadi Sasa sioni chama Cha kushindana na CCM. Upinzani wenyewe ni kama upo haupo, chadema nao ni kama wapo hawapo, ict wanaojiita wazalendo nao ni kama hawapo vile.
Kwa kurahisisha ni kwamba upinzani...
Sasa ndio muda mwafaka Kwa waheshimiwa kujionesha mbele ya jamii kuwa wako karibu na wananchi hasa tunapoelekea kwenye kipindi Cha uchaguzi.
Baadhi ya matukio yanayoweza kuambatana na kujipitisha ni pamoja na:
1. Kutoa misaada Kwa makundi maalum
2. Kuhudhuria matukio ya kiserikali.
3...
Kufuatia na yanayoendelea Jijini Arusha , uwezekano upo mkubwa John Mongella kuteuliwa kuwa Mbunge na badae kwenda kugombea Ubunge Katika Jiji la Arusha akichukua nafasi ya Gambo ambaye Kwa kweli ameonekana kupoteza mvuto mbele ya jamii ya watu wa Arusha Jiji.
Lakini utabiri unaonesha kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.