Huyu Mwalim Mkuu wa Shule ya sekondari Dodoma alikubali kumpokea mwanafunzi mmoja aliyetoka Mkoa wa Katavi baada ya kukamilisha taratibu zote za uhamisho na hadi kupitia TAMISEMI amekuja baadae kusema hamkubali na hamtaki huyo mwanafunzi bila ya sababu ya msingi pamoja na kuwa ametumia gharama...
Huu ujumbe umfikie Mwalimu Mkuu wa shule ya sekondari Dodoma , yaani kazidi na ni mnyanyasaji mkubwa si kwa watumishi pekee wanafuzi na hata wazazi wakienda kwa ajili ya jambo lolote la kikazi na kwa kweli huyu amulikwe na kushughulikiwa pia.
Wewe muongo angalia polisi wa Marekani walivyokuwa wanatoa kipigo cha Mbwa koko you tube -
Chaos in Washington as Trump supporters storm Capitol and force lockdown of Congress
IGP wa kule katoa ruhusa watoe kipigo. Hujaona askari wa Marekani wanavyotoa kipigo cha Mbwa koko kwa wafuasi wa Trump? basi nenda youtube andika
Chaos in Washington as Trump supporters storm Capitol and force lockdown of Congress
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.