Recent content by Wandoto

  1. W

    Natafuta kazi yoyote halali

    Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 23, Elimu yangu kidato cha sita. Naishi mkoa wa Iringa. Natafuta kazi yoyote halali mfano kazi za mashambani & kulisha mifugo, saidia fundi, kuuza duka, n.k. Mawasiliano yangu ni 0689704085.
  2. W

    Nahisi nina bahati mbaya, au siyo fungu langu?

    Wakuu nendeni Fb mkasearch careen Jibebe[emoji1787][emoji1787]Mtakachokikuta mtanishukuru.[emoji23][emoji23][emoji135] Ee Mungu tunusuru
Back
Top Bottom