ichambue katiba vyema na si kwa mihemko ya kisiasa.
katiba inasema chama chenye wabunge wengi ZAIDI ndicho kitatoa waziri. kipengele kicho kinaendelea kwa kusema AMA mbunge anayeungwa mkono na wabunge wengi kama hakuna chama chenye wabunge ZAIDI.
tatizo lililipo ni tafisiri ya maneno...
ONYO: msipotoshe watu na wala msiendelee kupotosha watu juu ya swala hili la kura ya Rais maana linafanyika kwa kiasi kikubwa.
hakuna mtu atakayeruhusiwa kupiga kura ya Rais nje ya kituo chake alichojiandikishia.
na hii ni kwa sababu, hakuna uwezekano wa kutambua uhalali wa mpiga kura...
Hawajalipwa toka mwezi wa pili japo walipaswa kulipwa mara tu wakikabidhi ripoti ya siku kumi na tano, mpaka leo wanapigwa danadana tu wakati wao washalamba hela toka kwa wafadhili wao.
huu wizi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.