Recent content by Wanakijiji

  1. W

    KERO Benki ya NBC wajirekebishe, watakuja kuua watu kwa presha

    Hawa NBC BANK watakuja kuua watu kwa Pressure. Jana nmeenda ATM kutoa pesa natoa pesa haitok kuangalia salio naambiwa nina negative 652,520,7644. Kumbe miitandao imesheki. Afu eti imagine kwa dunia hii ya sasa hivi NBC wana sim banking ambayo huwez kuhaamisha pesa kwennda bank nyingine. These...
  2. W

    Mjadala kuhusu Jukwaa la Kodi na Uwekezaji 2024, Ukumbi wa JNICC Jijini Dar es Salaam, Februari 28, 2024:

    Yaan kuna mtu jinsi anavyoanza kuchangia tu unajua huyu ni ludewa aama iringa😀😀😀😀😀😀😀
  3. W

    Naomba ufafanuzi kuhusu gari aina ya Subaru Legacy

    Nilichobaini watu wengi hatuyajui hays Magari sema tunajadili. Ni kweli consumption ya subaru legacy kwenye dashboard huwa inasoma kuanzia 5.5 hadi 13 au zaidi. Lakn hiz Namba hazina maana kuwa ikisoma 5.5 ndo Inatembea lita Moja kwa kilometres 5. Hiz gar consumption yako imewekewa kwa 100km...
Back
Top Bottom