Soko litajengwa pale pale palipo soko hilo la mabibo?
Itakuaje? Kama litajengwa hapo hapo kwenye eneo la soko la mabibo
Kuna taarifa kuwa hilo eneo sio la serikalini bali ni la mtu binafsi
Je? Wamepatana na vipi? Kuhusu mapato ya mwenye eneo na ilisemekana mwenye eneo hayupo tayari kuuza
Kweli kabsa Chief, tunapita mapema tu maana kuna mechi kali sana hiyo j5 kati ya sisi na congo sio mechi rahisi kabsa yaani ipo wazi kama Morocco atamgalagaza zambia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.