Recent content by Wamamba

  1. Wamamba

    Dar: Milioni 600 zatengwa kukarabati soko la Mabibo

    Soko litajengwa pale pale palipo soko hilo la mabibo? Itakuaje? Kama litajengwa hapo hapo kwenye eneo la soko la mabibo Kuna taarifa kuwa hilo eneo sio la serikalini bali ni la mtu binafsi Je? Wamepatana na vipi? Kuhusu mapato ya mwenye eneo na ilisemekana mwenye eneo hayupo tayari kuuza
  2. Wamamba

    Zambia anafungwa na Morocco , Tanzania tunamfunga Congo, bado tuna nafasi kubwa tu

    Kweli kabsa Chief, tunapita mapema tu maana kuna mechi kali sana hiyo j5 kati ya sisi na congo sio mechi rahisi kabsa yaani ipo wazi kama Morocco atamgalagaza zambia
Back
Top Bottom