Recent content by wamaandiko

  1. wamaandiko

    Kanda ya ziwa na matajiri wapya; Makigo na Yanga ndio wanaongoza

    Hoja yako haona mashiko kaka maana haina utafiti wowote ule,ila tu unazungumzia walaviepe wa dar cjui wanahusikaje huku kaka.Kwa takwimu za mwisho zilizo toka tajiri aliyetokea kanda ya ziwa ni Mfuruki.Endelea kupambana na hali yako.
  2. wamaandiko

    Maoni mbalimbali kutoka kwa viongozi/mitandaoni baada ya Lazaro Nyalandu kujivua ubunge na kuomba kuhamia CHADEMA

    TRA Tuleteeni material za kuchapisha leseni ni muda sasa tunatembea na karatasi za malipo.
  3. wamaandiko

    Aina hii ya nyoka wapo Tanzania?

    Rangi ya nyoka haikufanyi umtambue kwamba anasumu au la.Kati ya hao niliyeweza kumtambua ni hy mweupe anaitwa Garbon viper.Anasumu kali na kidonda chake hauponi.
  4. wamaandiko

    CHADEMA Kuna Kirusi! Je, Unajua kirusi hiki ni Nani?! Na The Motive Behind?

    Nimeoan kwenye taarifa ya habari Zito akiwa mtoa mada ktk warsha ya Kigoda cha Mwalimu,nimevutiwa sana na shahiri lile la Jenerali ulimwengu.Kwa yeyote aliyenalo naomba alitupie humu. Kawiche
  5. wamaandiko

    Tuagize rais na mawaziri kutoka nje ya nchi?

    Nashindwa kuelewa viongozi wa nchi yangu niiepandayo na kauli zilizopitwa na wakati eti nchi ya Amani na rasilimali.Je kauli hizi zinamsaidia nin mTz wa kawaida.Vuta darubini hapa hayo mabilioni yatakayotumika kuleta hao Experts cingekuwa ni hatua ya kwanza kuweza kujadiliana na hawa Specialist...
Back
Top Bottom