Recent content by Walnut Creek

  1. Walnut Creek

    Freeman Mbowe: Aitaka Mahakama ya Rufani Kuzuia Uchaguzi, Demokrasia imenyongwa

    Analipa vyote hivyo akisubiri usafiri upi?
  2. Walnut Creek

    Freeman Mbowe: Aitaka Mahakama ya Rufani Kuzuia Uchaguzi, Demokrasia imenyongwa

    Mbowe yupo stendi ya Magufuli Mbezi anasubiri treni ya SGR.
  3. Walnut Creek

    Rais Dkt. Samia atangaza ofa ya kuiona Taifa Stars bure dhidi ya Guinea

    Mbona Watanzania tupo kama Ngiri tuna National Disaster inaendelea hapo Kariakoo hadi sasa watu bado wapo chini ya kifusi bado Serikali inatoa funds kulipia watu kuingia viwanjani wakati zinahitajika kwenye uwokozi? Ina maana hatujali wenzetu? Kwa ubinafsi huu tukivamiwa tutaweza kujilinda...
  4. Walnut Creek

    Pascal Mayala: Waandishi wa habari walipwe posho kama Wabunge

    Nilisema hapa hata mpango wake wa Diaspora nia yake ni kutafuta funds mengine ni porojo tu. Pascal Mayalla pesa hazitafutwi hivyo.
  5. Walnut Creek

    Starlink katuma maombi hajaruhusiwa. Internet ina speed na gharama nafuu lakini ni ngumu kuruhusiwa kwasababu haiwezi kuzimwa wala kublock Twitter

    Shauri yenu Elon na Trump wanaingia madarakani January mtapigwa sanction hadi mtakumbuka Tanzania ni third world country.
  6. Walnut Creek

    CCM tutashinda Kwa kishindo Chaguzi zote 2024&2025

    Uzuri majanga yakija yanaumiza wanachama wa CCM pia.
  7. Walnut Creek

    Diaspora Wetu Wanafanya Nini cha Kuonekanika Huko Ughaibuni?. Diaspora Mliofanikiwa, Onekanikeni Kupitia TAK na Rudisheni Tanzania Japo Kidogo!

    Wewe na viongozi ni sehemu ya tatizo na hamna diaspora waonajielewa watafanya kazi na nyie. I guarantee you hii agenda yako itafeli.
  8. Walnut Creek

    Ningekuwa mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama Dar Es Salaam, ningefanya haya kujiandaa na Majanga na wakati wa Majanga

    Tunachukulia kwa uwepesi sana suala zima la uchaguzi na demokrasia lakini kuwa na viongozi waliopatikana kwa njia zisizokuwa za haki zina madhara makubwa sana kwetu wananchi.
  9. Walnut Creek

    Ningekuwa mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama Dar Es Salaam, ningefanya haya kujiandaa na Majanga na wakati wa Majanga

    Sawa hadi pale utakupokuta umetengewa bajeti 200m. Kati ya hizo umepewa maelezo toka juu 150m ziende sehemu ambao haina uhusiano wowote na emergency preparedness halafu halafu hiyo 50m unaambiwa kuna vikao na drill zitakula 45m. Utabaki na 5m ya kutayarisha proposal kwa wadau kuomba msaada kwa...
Back
Top Bottom