Mkulungwa, unalinganisha bei ya bidhaa Dodoma na kipande kipi cha nchi. Bei ulizozitaja nikilingasha na DAR mbona ni za kawaida, mfano kilo ya mdudu kwa TZS 10,000
Kuna makabila yameshikilia mambo ambayo hayana mashiko ukilinganisha na nyakati tulizonazo. Mfano, ktk familia kuthamini zaidi mtoto wa kiume kuliko mtoto wa kike hata pale inapoonekana binti kuwa ni mwenye uwezo zaidi. Inasikitisha sana sana pale ambapo utakuta ubaguzi huu unatendwa na wazazi...
Rafiki mbona kama unafurahi kutaabika kwa mwenzako. Halafu athari ya hayo makitu hayawezi kukuacha salama.... kuna kodi imepungua hapo (PAYE), wengine wana familia na wategemezi huwezi jua wameathirika vipi kwa hilo punguzo. Sasa kuna la kufurahia hapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.