Thanks kwa ushauri Mkuu, naomba nisaidie aina ya mfuniko mzuri maana nimebadili mara mbili na kuna fundi alidai inasababishwa na thermostat akaitoa lakini tatizo likaendelea
Habari Wakuu!
Naomba msaada wa kiufundi kwa IST kutorejesha coolant kwenye rejeta kutoka kwenye reserve tank ambayo imekuwa ikimwagika baada ya kujaa. Nimejaribu kubadilisha kifuniko cha rejeta lakini tatizo bado linaendelea.
Ahsante sana kwa ushauri Mkuu, nilibadilidili plugs kwa kuagiza kupitia agent wa Toyota bt tatizo liliendelea kuwepo pia kuna fundi alinichekia akadai tatizo liko kwenye Air Mass flow imechafuka aliposafisha tatizo liliisha baada ya muda likajirudia. Naomba ushauri wako zaidi
Habari Mkuu,
Nina IST ina tatizo la kusitasita ikifikia kati ya speed 60 na 90 ikiwa chini ya 60 au zaidi ya 90 inakwenda vizuri. Naomba unifahamishe tatizo lake na ufumbuzi.
Thanks
hamieni Uganda na Lowasa wenu kuna mchakato wa uchaguzi umeanza jana labda utabiri wa T.B. Joshua unaweza kutimia kwa Tanzania Magufuli ndiyo Rais na Amiri Jeshi Mkuu
Magufuli ndiye Rais wa Tanzania hata kama hamtaki. Kama mnaona lengo la mabadiliko halijafikiwa kwa kuzungusha mikono muanze KUZUNGUSHA VIUNO labda mnaweza kubadilika
mbona wenye akili zao walikuwa wanajua yale yalikuwa ni maigizo na wale vijana walilipwa kurekodi ile movie. Na sasa hivi mnasubiriwa mfanye mazengaumbwe ya kuzungusha VIUNO badala ya mikono wakati huu MAGUFULI anasubiria kutangazwa. HAPA KAZI TU
hizi akili mnazotumia kufikiri kwa sasa zinatokana na mazengaumbwe ya kina Gwajima na T.B. Joshua. Hakuna shaka baada ya 25 octoba mtarudishiwa akili zenu wakati huo tingatinga yuko Ikulu na Laigwanan atakuwa nje ya nji kwa mapumziko na ........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.