Hata Kitira Mkumbo na Polepole walikuwa na taaluma zao lkn sasa hivi unawasikia, hahahaha, jina lako tumempa Mh,Kijazi atampa Mh,JPM tulia utapewa cheo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitampa jina lako Mh, Rais atakupa UDC kama mwenzio polepole na utatulia ukishapewa, maana hata mwenzio alisema haipendi ccm lkn sasa hivi ndo anajifanya kutoa somo la Itikadi ya ccm sijui kajifunzia wapi kama sio kudanganya makada, mpaka leo kasahau serikali tatu alizotaka, hahahaha njaa mbaya...
Na wewe unatafuta uteuzi, hata mwenzio polepole nae alikuwa anahubiri kuhusu baraza la Vijana baada ya kuteuliwa sasa hivi anakula amelisahau, tutamwambia Mh,Rais akuteuwe nawe ule
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye hii list uliyotuma hakuna atakae pita kwenye mchujo, hata wakipitisha 20 bora hakuna atakae onekana kwenye list wote
Sent using Jamii Forums mobile app
Jokate mgombea wake ni Mwakibinga, tunawafahamu sana hapo makao makuu kila mtu na mgombea wake na nina Imani Mh,mwenyekiti wetu Taifa Dr.magufuli anazo pia taarifa hizi watapigwa kama Lowasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa hakuna siri hapa duniani mkuu, yote anayofanya watu wanajua, yeye, Sadifa na wanang'waru wote tunawajuwa na hao watu wao hawatapita ng'oo ,jumuiya imekufa, tunataka mtu mwenye uwezo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli huyu Shaka hafai, anakula sana pesa za wagombea, amehongwa na Ayubu Tesha, Kangowe, Vani na Serera pesa nyingi sana kwanza anatakiwa apishe hiyo nafasi tupewe mtu mwingine asimamie uchaguzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Muulize Olimboka atakwambia kama unaweza kuwakaba au laa!! Uzuri nawe unafahamika unapoishi watakuja uwakunje kama hawatakugeuza nyuma
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.