Sawa mkuu kwa hiyo Ram itatakiwa iwe na MHz kanzia ngapi? Itakuwa vizuri kama kuna muuzaji unaemjua uka ni recommend maana haya mambo ukienda kichwa kichwa unapigwa za uso.
Kwa navyojua mimi kwenye upande wa printer na hizi photocopy machines ukinunua za bajet ndogo garama utazipata kwenye wino na matengenezo na pia ufanisi wa ufanyaji kazi unaweza usiwe mzuri kama utakuwa unaitumia kwa mzuda mrefu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.