Nani hawahawa ndo ccm ata humwambii kitu.Wa tz wengi wamenyimwa elimu ili watawaliwe vzuri.Leo hii uksema shule zakata ndo zchague laisi nazani ccm watapgwa mchana kweupe.
Hujaona nini nimeandika au huja elewa nn nikueleweshe?"ole wao waikataao kweli nakuukubali upotoshaji"mkuu hakuna chembe hata yauongo kuhusu nilicho andika ata tokomeza nayo unaikataa?kupigwa lisasi mifugo unakataa?bulyanhulu kufukiwa watu muulize mafia zitto aliye mwaga hadi machozi ya...
Binafsi naumia sana napo ona nguo ya kjani.naamini kabisa mtu yoyote alive ccm hana huruma wala msaada wowote kuhusu bulyanhulu huyu bwana mfupi aliamlu watu wafukiwe madualani watuwakapoteza maisha.watu wakapoteza Mashamba;mifugo nakuachwa bila fidia yoyote mpaka leo hii;serikali hiihii ilisema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.