Habari wana JF.
Nilivyomalizaga certificate ya Clinical Medicine niliomba leseni ila sasa nimemaliza Diploma yake nikarudi kwenye mfumo katika akaunti yangu ile ile nimetafuta sehem ya kuadd qualification isome Clinical Officer (CO) ili niombe leseni badala ya ile ya mwanzo Clinical Assistant...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.