Hapa kuna watu wanaleta utani lkn hawajui hali nayopitia, before nimekuwa na mali nimeishi vzr mali imepotea naona ilivyokazi kuupata mtaji mpya
Naiona zihaka ninayofanyiwa na watu wangu wa karibu watu ambao mm nkiwa na maisha nlikuwa nawachukulia sehemu ya familia
Unapita sehemu watu...
Kama nilivyoandika kwenye mada hapo juu, nimekuwa nikipitia magumu kila kukicha baada ya kupoteza mali mke kaniacha sina chochote
Nimetengwa na ndg karibia wote hata nliokuwa nawasaidia nimekuwa ni mtu wa masononeko kila kukicha mbaya zaidi connection zangu karibia zote zimepotea
Nimepoteza...
Ahsante nashukuru mkuu, vipi uzi ni wa hivi karibuni maana isije kuwa kazi zimeshaisha kitambo nisaidie basi pia ukanitag kwenye huo uzi
no: nmezichukua nitamtafuta mkuu
Habarini za mida wakuu? wacha niende moja kwa moja kwenye mada
Mimi ni kijana wa miaka 27 nimekuwa nikifanya ujasiriamali kwa mda biashara ndogo ndogo na ufundi(rangi)
Ila ninapitia kipindi kwa sasa nimejikuta nakula hiki kimtaji changu kidogo nina familia ya watoto wawili na mke sina...
Kumekuwa na tatizo la kukatika sana kwa umeme mkoa wa Geita hasa vijijini sijui kwa nini
Waziri anadai wanataka umeme wa uhakika lakini watendaji wa TANESCO wamekuwa wazembe kweli, mfano unalipia kuunganishiwa umeme leo unakuja kuunganishiwa baada ya miezi minne kama sio mitano
Sasa kuna Kata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.