karibu yote ulioandika yanawahusu lowasa na sumayi ambao walikuwa watendaji wakuu wa serikali.
IPL ilileta sakata la esrow na alieileta IPL ni waziri mkuu sumayi
akina sumayi na lowasa kujimilikisha ardhi kiasi hicho kwa maneno ya mzee yusuph makamba kwa anzia leo naichukia sana chadema.
lowasa hafai hata kidogo urais
mtoa mada dr slaa hukumuelewa naomba mfatilie clip uisikilize kwa makini naona uliona atamshambulia vipi lowasa ndio ukawa na wasiwasi na akili yote ilikuwa hivyo
hawa viumbe wa mungu kufikia kutoa maneno ya chuki kutojitambua kama wanakosea sijui ni kupagawa au vipi sijui uchaguzi ukiisha na ccm mshindi sijui itakuwaje siku hizi hata hawa chasaka tunaogopa hata kuwasalimia kama wamepagawa na nini mungu awasamehe
ccm hawana matatizo utalala nao taratibu mpaka unatoka mwenyewe kama fisadi papa alivyotoka mwenyewe madabida kesi yake ipo mahakamani karamagi kishatoka yupo caf na ccm ikipata dola inaandaa wale mnaodai wapelekwe mahakamani watapelekwa na ndio mafisadi wanajaribu kutumia nguvu kubwa kutaka uongozi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.