Kaka naomba nikusahihishe kidogo, sina hakika na Pride, lakini FINCA imebadirika sana, tangia ipewe kibari na benki kuu kuwa benki kamili hawa jamaa wamebadirika sana, maslahi yao ni makubwa, staff loan zakumwaga na mshahara wa loan officer hakuna benki Tanzania inayolipa mshahara mkubwa kwa...
Wadau, naomba mnijuze hv Mbowe alipata ziro form four au six, na je baada ya hapo hakupata elimu ingine ya ziada kama vile certficate au diploma in politics or at any ground, please naomba mtu anayujua anijuze kwa ustaarabu tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.