Recent content by Wakatirafikimwema

  1. Wakatirafikimwema

    Riwaya: Nitarudi Arusha

    simu yangu ilizingua hapa ndiyo nimefanikisha kuifungua
  2. Wakatirafikimwema

    Siri yafichuka, Kumbe nyumba Baraka Da Prince anayotamba kujenga si yake, ni ya Mama Naj

    Huku tabata anatuigizia kumbe..... sikujua maana Hata kule Segerea namwona mamake anaenda kukusanya kodi na kuna ndugu yangu ni mpangaji wake .....da kazidiwa hadi na mama yake[emoji23][emoji23][emoji23]
  3. Wakatirafikimwema

    Alikiba kwani ukijishusha kwa Diamond utakufa?..

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kakomaa huyo
  4. Wakatirafikimwema

    Baraka da prince amtukana Msami

    kusoma kwake shule za kata si sababu .... kuna mbuzi kibao wamesoma shule zisizo za kata halafu wapuuzi kinoma...
  5. Wakatirafikimwema

    Riwaya: Nitarudi Arusha

    NITARUDI ARUSHA V "Binti?" Niliuliza kusudi ili niipe akili yangu kufikiria zaidi. " Ndiyo yule uliyemleta" "Mhhh ....." "Ndiyo nesi kuna tatizo lolote"Niliamua kukubali baada ya kufikiri kidogo kwani kukataa kungenifanya nitoe majibu ambayo yangeongeza maswali mengi zaidi ya kumtaka mume wa...
  6. Wakatirafikimwema

    Riwaya: Nitarudi Arusha

    yap
  7. Wakatirafikimwema

    Riwaya: Nitarudi Arusha

    Kesho naweka mkuu
  8. Wakatirafikimwema

    SHAIRI:NAFSI INA SIRI NYIGI

    Nafsi ya mtu ni jumba,jba la giza totoro, Tena lenye vingi vyumba,usiyojua zoke kasoro, Waweza kuhisi cha simba, kumbe chumba cha kongoro, Nafsi inabeba mengi, ni siri ya mwenye nayo. Machoni naona pendo,pendo lile nitakalo, Wala silioni pindo,pindo linichukizalo, Na sivihisi vishindo,wala baya...
  9. Wakatirafikimwema

    KWA HERI JK NYERERE HAYA NDIYO TUYAFANYAYO

    amen... sawa kabisa chanzo kikidhibitiwa tutakuwa tumetatua kabisa tatizo
  10. Wakatirafikimwema

    KWA HERI JK NYERERE HAYA NDIYO TUYAFANYAYO

    ** Mwalimu, Tunaoamini katika tukionacho tunaamini tukija Butiama na kufukua kaburi lako tutakutana na fuvu la kichwa na baadhi ya mifupa ya mwili wako na vipande vya mbao ambazo ninakaribia kuwa udongo. Lakini pia wale tunaoamini katika hisia na kitu kiitwacho roho tunaamini licha ya kuwa...
  11. Wakatirafikimwema

    Riwaya: Nitarudi Arusha

    NITARUDI ARUSHA ...IV ‘’Basi alipofika pale Ufundi akaanza ulevi kwa kile alichokiita kupoteza mawazo na hayo yote alinisimulia usiku tukiwa tumelala baada ya yeye kutoka mjini alikokuwa akinywa pombe hadi saa sita za usiku akitumia nafasi ya kulala na mimi na ugeni kutoonekana mtoro kwani kila...
  12. Wakatirafikimwema

    Riwaya: Nitarudi Arusha

    Karibu usijali itafika mwisho Tutakutana Arusha kama utaamua kurudi Arusha
  13. Wakatirafikimwema

    Riwaya: Nitarudi Arusha

    Asante nipo stendi ya vifodi huku
Back
Top Bottom