asante kwa ukibaraka na utakufa mapema coz unalazimika kwenda kinyume na moyo wako najua unaipenda chadema lakini buku 7 ndo zinafanya unatenda dhambi kubwa ya uongo katubu mapema
:)ndugu wana jf katika kile kinachojidhihirisha ni kuzidiwa nguvu na chadema , ccm juzi walihairisha mkutano wao wa kampeni baada ya kujikuta wakiwa peke yao kwenye mkutano na watoto kibao, walifunga kila kilicho chao na kukimbia kimya kimya , hali hiyo imepelekea mgombea wa ccm kukimbia na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.