kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu kitunda au karibu na maeneo hayo bajrti yangu ni 3M, Mwenye nacho au mwenye kumfahamu mwenye nacho tafadhari naomba ani-pm no yake
kuna jamaa alishawahi kuomba ushauri juu ya kabila hilo hilo, ni vema ukatafuta kwanza hapahapa, ndo maana watu wanaona uvivu kuchangia vitu ambavyo walishavichangia
Nakumbuka wakati tumetangazwa washindi ubungo tukawa tunaongozan na mbunge akiwa kwenye gari sisi chini, polisi wakazuia maandamano yetu ila waliruhusu magari yaendelee na safari sasa leo magari nayo yanamaandamano, kazi ipo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.