Shikamoo Mshana?!
Mimi niliota niko kijijini kwetu napita karibu na choo cha kilabuni!
Basi niliwakuta wana wanasaficha vyoo kwa maana ya kutoa kinyesi kwenye mashimo ya vyoo!. Sasa wakati napita karibu nikamwagiwa kinyesi mwilini kama bahati mbaya hivi!
Sasa naomba kujuwa maana ya hiyo ndoto...
Habari zenu?
Kwanza mimi sio muandishi wala mchangiaji sana wa mada zinazoletwa humu jukwaaan, kwahiyo naomba hicho kisiwe kigezo cha kutonipa ushauri!
Mimi naishi Nyanda za juu kusini katika mojawapo za Wilaya zinazolima mpunga.
Sasa leo nimeota ndoto ilinishangaza sana kitu kilochopelekea...
Haya mambo kama hujawahi shuhudia unaweza sema pengine ni uongo!
Lakini kuna jamaa hatukujuwa chochote kuhusu alikotokea wala historia yake,lkn tulifahamiana nae kama miaka 3 hivi!
Basi kuna siku wakafika ndugu zake kutoka Lusaka na kuanza kuangua kilio na kisha kumchukua na kuondoka nae kurudi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.