Historia ya tangu na enzi inaonyesha kwamba Mungu ana kawaida ya kuwaondoa wanaoddhulumu. Kwa hio katika hili jiulize ni nani anaedhulumu? Kama ni Mbowe ndie anaedhulumu basi ni kweli kwamba Mungu ndie atakaemuondoa. Ila kama ni kinyume chake basi elewa kwamba Mungu anajuwa ya siri na ya dhahiri...
Mungu kweli ni mkubwa na mwingi wa mipango! leo ma CCM yanalana yenyewe kwa yenyewe kama mazombe, na huu ni mwanzo tu... tutaona mengi! Dhulma haina mwisho mwema!
Waswahili walinena : yalio baharini yangojwe ufukweni... na hii kesi ya mbowe huenda ikawa chanzo cha mengi kuibukia ufukweni likiwemo lile la maiti ndani ya viroba vilivyookotwa kando ya bahari.
Kwani hawa hawajui kama Tanzania hakuna uchaguzi? Kilichowapa washiriki huu uchaguzi ni kitu gani kama si ubinafsa? Hatutaki kusikia manungu'uniko kwanza tudai katiba na tume huru tusipotezeane muda!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.