NAPE huna sera nyie kalieni unafiki, wizi,udokozi na ujambaz wezi kabisa nyie...
maisha bora kwa kila mtanzania yako wapi.....?mnajinufaisha kwa mgari na majumba ya kifahari huku wengi wanateseka watu wa chini wanashindwa hata kununua unga!!nyinyi wote kuanzia kiongozi wenu mkuu wa CCM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.