ukisema kilimo kinalipa tusizungumzie madalali wa mazao au mfanya biaahara anaeleta kuuza mjini. tukisema kilimo hakilipi angalia upande wa watanzania wanaoishi kijijini ambao bila kwenda shamba watakufa njaa
kilimo kinachangia zaidi ya 27% ya pato la taifa.
kilimo kimetoa ajira kwa zaidi ya watanzania 75%.
pamoja na umuhimu huo kilimo kinachofanyika hakimnufaishi mkulima na kumfanya ajikwamue katka wimbi la umaskini kwa sababu zifuatazo:
1. bei za mazao kua chini.
2. gharama za pembejeo za kilimo...
MTIZAMO
AGIZO LA RAIS, WAZIRI WA FEDHA PAMOJA NA WAZIRI MKUU JUU YA MABADILIKO YA TOZO ZA MIAMALA
Wakati tozo mpya za miamala zinatangazwa, nilikuwa miongoni mwa watu waliounga mkono wazo hilo la Solidaty Fund
Nililiunga mkono kwa kuzingatia lengo lake pamoja na matarajio yake. Miongoni mwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.