Recent content by Wabike kenedy

  1. W

    Hivi kilimo bado ni uti wa mgongo wa Taifa?

    ukisema kilimo kinalipa tusizungumzie madalali wa mazao au mfanya biaahara anaeleta kuuza mjini. tukisema kilimo hakilipi angalia upande wa watanzania wanaoishi kijijini ambao bila kwenda shamba watakufa njaa
  2. W

    Kilimo ni uti wa mgongo wa uchumi wa Tanzania

    kilimo kinachangia zaidi ya 27% ya pato la taifa. kilimo kimetoa ajira kwa zaidi ya watanzania 75%. pamoja na umuhimu huo kilimo kinachofanyika hakimnufaishi mkulima na kumfanya ajikwamue katka wimbi la umaskini kwa sababu zifuatazo: 1. bei za mazao kua chini. 2. gharama za pembejeo za kilimo...
  3. W

    Mtazamo wangu juu ya tozo za miamala

    MTIZAMO AGIZO LA RAIS, WAZIRI WA FEDHA PAMOJA NA WAZIRI MKUU JUU YA MABADILIKO YA TOZO ZA MIAMALA Wakati tozo mpya za miamala zinatangazwa, nilikuwa miongoni mwa watu waliounga mkono wazo hilo la Solidaty Fund Nililiunga mkono kwa kuzingatia lengo lake pamoja na matarajio yake. Miongoni mwa...
Back
Top Bottom