Mimi nasimama pale pele mkuu ya kuwa ndani ya polisi Kuna polisi wabaya na wazuri. Na kuna polisi wametunusuru na ubaya wa polisi wenzao. Kwa hiyo kuwajumlisha wote binafsi sikubaliani na wewe.
Wawasamehe jamani. Wanajiandaa na machungu ya kikokotoo. Bila ya hivyo watastaafu wakiwa hawajajenga nyumba kwani mishahara yao ni kichekesho na wakistaafu wanakutana na kikokotoo.
Ninachojua mimi polisi ni sehemu ya jamii. Ni kweli Kuna polisi ni wasumbufu kupita kiasi. Kiuhalisia hao wanaenda kinyume na kanuni za utumishi wa umma. Lakini pia kuna polisi ni wastaalabu na wana utu hata zaidi ya baadhi ya raia wenzetu.
Nakumbuka mwaka juzi mwzi wa 7 Kuna askari polisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.