Recent content by Waaai

  1. W

    Je, Intelijensia ya Jeshi (JKT) haina uwezo wa kung'amua mambo ndani ya Jeshi?

    Mihemko ya nn inakufanya uongee bila mpangilio. Kwani usipohemuka hutaeleweka? Sasa kwann usingeanza na swali hili? Mbona ni swali zuri na lenye majibu.
  2. W

    Je, Intelijensia ya Jeshi (JKT) haina uwezo wa kung'amua mambo ndani ya Jeshi?

    Unarudi pale pale kwenye mihemko. Ukikatazwa unaambiwa acha unachofanya. Angalizo unaambiwa kuwa makini na unachofanya. Huoni tofauti hapo?
  3. W

    Je, Intelijensia ya Jeshi (JKT) haina uwezo wa kung'amua mambo ndani ya Jeshi?

    Sasa kumbe hata cha ajabu alichoongea hujui.... Nikija na Id yangu iliyozoeleka humu mm sio mgeni. Acha haraka kwenye maamuzi. Mbio za nn?
  4. W

    Je, Intelijensia ya Jeshi (JKT) haina uwezo wa kung'amua mambo ndani ya Jeshi?

    Una haraka sana bwana macho. Yaani una mbio za kuparamia kutoa hoja. Unatoa majibu kwa kutumia hisia ndo maana unahemuka. " Embu toa ujinga hapa, usitutishe, peleka upumbavu huko"🤣🤣🤣🤣
  5. W

    Je, Intelijensia ya Jeshi (JKT) haina uwezo wa kung'amua mambo ndani ya Jeshi?

    Wewe huna madhara wala msaada kwa carlos na pengine hujui kupima uzito wa alichoongea huyo carlos ndo maana unapayuka tu akipewa angalizo, unadhani anatishiwa.
  6. W

    Je, Intelijensia ya Jeshi (JKT) haina uwezo wa kung'amua mambo ndani ya Jeshi?

    Huna madhara wala msaada. Hoja zako si hatari ni za kawaida, upo salama na hujui tafsiri ya neno kutishiwa. Mwenzako kagusa sehemu hatari kwa usalama wake, lazima apewe angalizo awe makini. Hajakatazwa asiseme ila awe makini, huko si kutishiwa ni kukumbushwa kuwa anazungumza mambo ambayo ni...
  7. W

    Je, Intelijensia ya Jeshi (JKT) haina uwezo wa kung'amua mambo ndani ya Jeshi?

    Kuna kutishiwa na angalizo. Ukitishiwa unaambiwa acha unachofanya, angalizo unaambiwa kuwa makini na unachofanya.
  8. W

    Je, Intelijensia ya Jeshi (JKT) haina uwezo wa kung'amua mambo ndani ya Jeshi?

    Unarudi pale pale. Mihemko na kutokujua maana ya neno kutishiwa.
  9. W

    Je, Intelijensia ya Jeshi (JKT) haina uwezo wa kung'amua mambo ndani ya Jeshi?

    Una mihemko. Hakuna mwenye tatizo na mihemko yako.
  10. W

    Je, Intelijensia ya Jeshi (JKT) haina uwezo wa kung'amua mambo ndani ya Jeshi?

    Una mihemko na hujui maana ya kutishiwa.
  11. W

    Je, Intelijensia ya Jeshi (JKT) haina uwezo wa kung'amua mambo ndani ya Jeshi?

    Wewe ni carlos? Kama sio una matatizo. Carlos anaelewa uzito wa hiyo habari na anajua inamaanisha nini.
  12. W

    Je, Intelijensia ya Jeshi (JKT) haina uwezo wa kung'amua mambo ndani ya Jeshi?

    Mm si tatizo kwako, tatizo lako ni Max kukupenda upeo kwa kiwango cha kusimama against mabakabaka kukulinda wewe carlos.
  13. W

    JKT yasitisha Mikataba ya Vijana 854 waliofanya Uasi

    Jeshini kosa la kutokutii amri na uhaini au uasi adhabu inafahamika. Nadhani hawa hawakukamilisha mafunzo ndo maana jeshi halijaona hatari kuwaacha mtaani. Wangekamilisha mafunzo kwa 50% ya kijeshi wasingethubutu kugoma, wangefata taratibu maana wanaelewa tafsiri ya hilo tendo.
  14. W

    Je, Intelijensia ya Jeshi (JKT) haina uwezo wa kung'amua mambo ndani ya Jeshi?

    Kuwa makini carlos ndugu yangu na haya mambo. KUWA MAKINI.
  15. W

    Je, Intelijensia ya Jeshi (JKT) haina uwezo wa kung'amua mambo ndani ya Jeshi?

    Ok mkuu, Humu JF tusidhani tupo salama sana, si kila taasisi ya kulitolea taarifa usizozielewa, kuna watu humu ukiwakwaza hakuna atakayeweza kukulinda.
Back
Top Bottom