Recent content by wa watu

  1. wa watu

    SERIKALI NA BODI HAWAFAI, angalia:

    very very bad,najisikia vibaya sana kwa hili ambalo serikali inatutendea hata pesa ya chakula tu jamani tutaishi vipi huko chuo!!! future zetu zinaenda mrama wallah!! inauma sana
  2. wa watu

    Admission letters UDOM.

    jaman admission letter,medical examination form zote zipo kweny mtandao wachuo,..kama unapata shida basi piga simu!!
  3. wa watu

    HESLB: tuliokosa mikopo kesho(ijumaa) tukutane ofisi zao mpaka kieleweke..

    niko wizara hapa nawasubili tuungane kwa pamoja kudai haki yetu!!
  4. wa watu

    Msaada UDOM: Reg Form na Medical Examination Form za udom ziko sehemu gani.

    soma maelekezo vizur fuata kila hatua ni rahis sana,ukishindwa piga simu namba ziko mtandaoni!!!
  5. wa watu

    Msaada UDOM: Reg Form na Medical Examination Form za udom ziko sehemu gani.

    pigeni simu kupitia namba zao itakuwa rahic sana hata me nilifany hivyo nikasaidiwa na kuzitoa fasta!!
  6. wa watu

    Msaada wa kubadili Course UDOM

    hakikish unaripot chuo mapema na uhudhulie orientation course hapo utapata maelekezo jins ya kubadili course!!
  7. wa watu

    Taarifa heslb

    me naona hakuna utaratibu iliofuatwa pesa zimetolewa kwa sandakalawe mwenye kupata apate,aliyekoswa amekoswa tu!! inauma sana cjui hatma yangu daa!!HESLB basi tu.
  8. wa watu

    Wale wa UDOM: Sept 30 ni deadline ya Tuition Fees

    wana udom wenzangu naomba kuuliza jins ya kuzipata jioning instraction form ili nizitumie kuomba msaada wa ada na mahitaj mengine ya chuo,kwan hata me pia heslb wamenitosa.,natanguliza shukran za dhati kwenu!!
  9. wa watu

    Mkopo na Priority Programs: Ingia hapa ujue kama utapata au umekosa...

    heslb hawajatutendea haki tuliosoma nje ya nchi yaan hata 0% daa!!
  10. wa watu

    Wale wa udom

    jaman wana wa udom wenzangu eti medical examination form tunazipataje???
  11. wa watu

    Wale wa udom

    ni kweli kabisa me pia nimefanya hvyo fasta tu nikaprint!!!
  12. wa watu

    Ni kwa nini IFM inatunuku shahada (Degree) wakati siyo Chuo Kikuu?

    wataalam watalizungumzia hilo kwa undani zaid,lakni ni kweli kabisa IFM ni taasisi tu cjui wanapata wapi mamlaka ya kutunuku degree!!!
Back
Top Bottom