Wacha kupiga nduru weweeee......funguka kuwa wewe ni magamba mnaanza kuwa na wasiwasi wapinzani kuanza kuungana......na bado ya KANU yatawapata safari hii!!!
Wakati mwingine kukaa kimya ni busara kuliko kuandika utumbo kama huu kwenye huu uzi. Wewe shida yako ni nini hata kama muungano huu ni wa muda? ama wewe ni magamba unaanza kuweweseka unapata shida wanavoanza kuungana? subilini ya KANU yanakuja si muda mrefu!!
Mh Bona, wote tunaunga mkono kila anayetetea maslahi ya walimu kwani ni dhahiri wamesahaulika sana. Tunachopinga hapa ni Kinana kumpa Kawambwa ultimatum ya kuwalipa walimu madeni yao kwani yeye ndo amekalia hizo pesa? Anayetakiwa kuwajibika kwa hilo ni Serikali ya CCM siyo Kawambwa vinginevyo...
Nimeipenda hii kwani ni kweli kabisa huyu jamaa akili yake ni matope......kwa hivo kumbe ubunge wa kuteuliwa ndo uunge mkono kila kitu hata kama ni ujinga kwa vile tu JK ndo msimamo wake uunge mkono.....non sense!!
Hata kama wasipopangiwa kazi nyingine kwani wana shida gani wakati mshahara unaingia kila mwezi kama kawaida? This is only in Tanzania anyway!! Wale jamaa wote waliosimamishwa akiwemo yule jamaa alikuwa katibu mkuu wizara ya nishati na madini akachangisha mapesa watu wakamletea nouma mpaka...
Wakurungenzi wanavopatikana haina tofauti na jinsi ma-DC wanavowekwa na CCM wote ni makada tofauti ni kwamba mmoja ana access ya CASH mwingine hana! Kwa hivo usitegemee hata siku moja kusikia eti kafungwa kwa ubadhilifu wa fedha za umma.
UVCCM Zanzibar waache unafiki waseme ukweli kuwa Wazanzibari wote wanataka Zanzibar iwe nchi/serikali huru yenye kujiamulia mambo yake pasipo kingiliwa na Tanzania bara.
Huo ni uchaguzi mdogo kwa hiyo ukisema kutumia helikopta ni matumizi mabaya ya resources hautakuwa sahihi. Kwa vile hata vyama vingine mbali na kutotumia helikopta vimepeleka wapiga debe ambao allowances zao zinatosha kulipia helikopta na mtu mmoja akafanya campaign maeneo yote hayo. Kwa hivo...
Mi nadhani hii inasaidia pia kusafisha hali ya hewa iliyoharibiwa na wagombea majukwaani wakitupiana mpira wa scandals. Kwa hivo kila mgombea ana nafasi kupitia mdaharo huu kujisafisha kwa kusema nini ukweli kuhusu kashifa yoyote aliyotuhumiwa.
Mbona Kenyatta amekwepa swali na familia ina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.